Sunday, February 9, 2014


Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiingia katika Stesheni ya Liverpool Lime Street.
...Mzee baada ya kula mweleka katika stesheni hiyo.
...Akisaidiwa na polisi wa stesheni.
...Wenger akisaidiwa kuinuka na mwanausalama.
BAADA ya kipigo cha bao 5-1 jana kutoka kwa vijana wa Anfield, Liverpool, Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger alipata majanga mengine baada ya kuteleza na kuanguka wakati akiingia katika Stesheni ya Liverpool Lime Street ili kurejea London. Wenger aliteleza na kula mweleka akiwa na mabegi yake ambapo alisaidiwa na polisi wa eneo hilo la stesheni.

0 comments:

Post a Comment